Tunatoa huduma mbalimbali kwa uaminifu na weledi mkubwa kwani kampuni yetu imesajiliwa na tunakupa upeo wa kuona mali zinazouzwa na au kupangishwa kutoka sehemu mbalimbali Tanzania
Tunakusaidia kukupangisha kwenye nyumba,apartments,vyumba vya makazi na kwa matumizi ya ofsini,Huduma hii unaipata kwa namna mbili , moja kupitia kwetu moja kwa moja au kupitia kwa madalali smart wetu ambao ni mawakala zetu
Dalali Smart ni jukwaa ambalo pia tunakupa upeo wa kuona fursa au bidhaa zinazouzwa na watu mbalimbali nchini kwa uhakika...
Tunaweza kukusaidia kuwa na umiliki halali wa bidhaa used ulizozinunua kupitia kwetu kama viwanja,nyumba,mashamba na kadhalika...
Kabla ya kupata huduma yeyote mhitaji wa huduma unapata fursa ya kujadiliana vizuri na kueleweshwa mwanzo mwisho ni kwa namna gani huduma husika itakufikia au kuipata .
Tunakupa uhakika wa mmiliki wa huduma husika kwa nyaraka zinazotambuliwa na serikali kama vile hati
Baada ya kujiridhisha na uhalali na uhakika wa huduma unayotaka kununua au kupanga sasa unaweza kuipata kwa mlolongo husika